Jumla ya watu 19 wamepoteza maisha kwenye ajali

Jumla ya watu 19 wamepoteza maisha kwenye ajali zilizotokea mkoani Dodoma na Arusha jana. Ajali hizo zimesababisha majeruhi 70. Ajali ya kwanza ilikuw aya basi la abiria na lori ambapo watu 17 walikufa na 56 kujeruhiwa.


source:
https://www.facebook.com/192327770849023/photos/a.585969761484820.1073741826.192327770849023/671661576248971/?type=1&theater