Hasheem Thabeet kibarua chaota nyasi

Timu ya Kikapu ya Pistons imemtema Mchezaji wake kutoka nchini Tanzania, Hasheem Thabeet ambaye amejiunga na Pistons mwezi septemba akitokea klabu ya Philadelphia iliyokuwa imemchukua kutoka Oklahoma City Thunder. Alicheza dakika tano tu katika mchezo mmoja wa pre season na katika mwezi huu amecheza dakika tano tu dhidi ya Washington Wizard huku akikosa jaribio lake...

IKULU YA MAREKANI YAVAMIWA

A man jumped over the White House fence on Wednesday night, but this time, the man barely made it onto the lawn before being taken down by a K-9 and quickly detained by Secret Service agen...

Boko Haram yatangaza himaya yao Nigeria

Kundi la wanamgambo wa Boko Haram limesema kuwa limebuni taifa la kiislamu katika miji na vitongoji inavyotawala kaskazini mashariki mwa Nigeria. Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau alizungumza kwenye kanda ya video iliyotolewa ili kupongeza wapiganaji wake kwa kuchukua udhibiti wa mji wa Gwoza mapema mwezi huu. Jeshi la Nigeria limepuuza dai hilo kuwa “tupu.”Haijabainishwa...

MASHABIKI WAUA MCHEZAJI

Mchezaji mmoja wa soka raia wa Cameroon amefariki baada ya kupigwa na kitu katika kichwa chake kilichorushwa kutoka kwa mashabiki mwishoni mwa mechi katika ligi ya Algeria. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 Albert Ebosse aliyekuwa akiichezea kilabu kubwa ya JS Kabylie alikuwa ameifungia timu yake bao la pekee katika mechi ambayo timu hiyo ilishindwa kwa mabao mawili...

Mateka waendeshwa kwata Ukraine

Wapiganaji wa mashariki mwa Ukraine wanaoipendelea Urusi wamewaendesha kwata katika barabara za mji wa Donetsk, wanajeshi kadha wa Ukraine waliowateka. Donetsk ni ngome ya wapiganaji hao. Mambo hayo yamejiri siku ya kuadhimisha uhuru wa Ukraine.Watu waliosimama kando ya barabara waliwazomea "mafashisti" wafungwa hao walioonekana wachafu. Katika kuadhimisha siku hiyo Rais...

Muingereza mwenye Ebola arejeshwa kwao

Maafisa wa serikali ya Uingereza wanasema kuwa mfanyakazi mmoja wa utabibu kutoka Uingereza ambaye ameambukizwa virusi vya Ebola nchini Sierra Leone, ataletwa Uingereza. Atasafirishwa kwa ndege ya jeshi la wanahewa la Uingereza. Atatibiwa kwenye kituo kilichotengwa ndani ya hospitali moja mjini London. Afisa wa wizara ya afya ya Sierra Leone alisema mwanamme huyo amekuwa...

DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imesema watu wawili wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola, uliolipuka kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo. Hao ni wagonjwa wa kwanza wa Ebola kuripotiwa nje ya Afrika Magharibi tangu kuzuka kwa ugonjwa huo huko, ingawaje haijaeleweka wazi kama vifo vya watu hao vinahusiana na mlipuko wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi. Mpaka...

DIVA awatukana wale wote wanaomdiss

Diva(akionesha kidole chuji) katika mtandao wa instagram mapema leo ameweka hiyo picha na kusema yeye ndo anakimbiza tz nzima(she run t...

MAKALIO YA KIM KARDASHIAN NI YA BANDIA!!! , JIONEENI WENYEWE

...

BIFU YA KAJALA NA WEMA NINI KINAENDELEA!!!!!!!!

STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja, ameibuka na kudai kuwa ameweka vitu vyote vya kitoto pembeni likiwemo suala la malumbano na kujikita katika suala la ujasiriamali.   Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja.  Akizungumza na paparazi wetu, Kajala alisema amefanya tathmini na kugundua mastaa wengi wamekuwa wakiambulia umaskini baada ya umaarufu kupotea...